Latest News

Mwanamke apatikana hai kwenye vifusi Nairobi



Mwanamke amepatikana akiwa hai kwenye vifusi siku sita baada ya jumba kuporomoka katika mtaa wa Huruma, Nairobi.
Juhudi za uokoaji bado zinaendelea ingawa kuna wasiwasi kwamba muda wa kupata manusura wakiwa hai unayoyoma.
Idadi ya waliofariki kufikia sasa imefikia 33.
Watu 80 kufikia sasa bado hawajulikani walipo.

No comments:

Post a Comment

PERUZI24HOURS Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.