Latest News

Mkondo wa mafuta washambuliwa Nigeria

Maafisa usalama nchini Nigeria wamesema wanamgambo wameshambulia mkondo wa mafuta katika jimbo la Delta.wanaripotiwa kuharibu vibaya mitambo na vifaa vinavyoruhusu kusafiri kwa mafuta kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
kundi la watu wanaoitwa Niger Delta Avengers lilimethibitisha kuhusika katika shambulizi hilo.Kumekuwa na ongezeko la uharamia baharini na katika eneo la jimbo la Niger Delta katika miezi ya karibuni.

No comments:

Post a Comment

PERUZI24HOURS Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.