Mashindano Makubwa ya 9 Ndani ya chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha AJTC imeingia leo kwenye fainali ya kupata madarasa matatu yalio bora katika Utangazaji.
Makamu mkuu wa chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha Bw Elifuraha Samboto (Kushoto) akitoa hotuba fupi kabla ya kuanza fainali ya mashindano yanayoendelea chuoni hapo kutafuta madarasa matatu bora.
|
 |
Wanafunzi wa AJTC wakiwa kwenye Ukumbi wa Chuo hicho wakisikiliza vipindi kutoka studio za 96.6 AJT FM |
 |
Majaji wa mashindano ya Utangazaji AJTC Steven Mulaki (kulia),Amos Ishengoma ( Katikati) na Jackline Joel (Kushoto |
No comments:
Post a Comment