MOJA YA MWANAFUNZI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI AJTC AKIWASILISHA KIPINDI
HII leo mashindano ya utangazaji
katika chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha yameendelea tena
kwa wanafunzi kuwasilisha vipindi mbalimbali kwa ustadi wa hali ya
juu,ambavyo vipindi ivyo ni pamoja na taarifa ya habari,michezo,burudani
pamoja na kipindi maalumu.Mashindano ayo yatafikia tamati siku yaijumaa
ya taree ya 27 ya mwezi wa tano mwaka 2016.
No comments:
Post a Comment