Baadhi ya majaji wakiwa wanafanya kazi yao kwa makini.
Baadhi ya majaji katika mashindano hayo.Picha na clemence karani |
Wanafunzi wa chuo cha
uandishi wa habari na utangazaji arusha (AJTC) Wameendelea na mashindano ya
utangazaji katika chuo hicho ambapo hii leo matokeo yametajwa ambapo madarasa matano yamefanikiwa kuingia fainali na hatimaye siku ya kesho
ijumaa ya taree 27 kujulikana mshindi katika mashindano ayo.
No comments:
Post a Comment