Latest News

FAIDA ZA MCHANGA KAMA RASILIMALI MUHIMU KATIKA UJENZI


mchanga ni mali asili ambayo ni muhmu sana kwa ujenzi

mchanga huo huchanganywa vyema kwa cmenti kwa ajili ya matofali



baada ya kuchanganywa vyema kwa cment na maji huwekwa katika mashine maalumu za kufyatua tofali


huyu ni mama mjasiriamaili akiwa katika ukaguzi wa shughuli ya utengenezaji wa matofali
baada ya mchakato huo tofali imara hupatikana tayari kwa matumizi ya ujenzi



shuhuli zote hizi hufanywa na vijana kama sehemu ya ajira katika maisha yao ya kila siku




No comments:

Post a Comment

PERUZI24HOURS Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.