Wanajeshi 5 wa Marekani wafa ajalini


Wanajeshi watano wa Marekani wamekufa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupinduka na kutumbukia mtoni mjini Texas.
 
Hata hivyo taarifa zinasema kuwa wanajeshi wengine wanne hawajulikani waliko.

Wanajeshi hao walikuwa katika mazoezi ya kijeshi wakitoka katika kambi ya kijeshi ya Fort Hood.

Mji wa Texas umekumbwa na hali ya radi na mafuriki katika siku za hivi karibuni,ambapo hii imekuwa ni ajali ya tatu kulikumba jeshi la Marekani siku ya alhamisi.

No comments:

Post a Comment

PERUZI24HOURS Designed by Templateism Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.