Mkuu wa zamani wa jeshi na mgombea wa kiti cha urais aliyeshindwa nchini Congo-Brazzaville amekamatwa.
"Hii ni njia ya kumdhuru jenerali, ambaye alisimama na bwana Nguesso wakati wa uchaguzi uliopita," msemaji wa chama cha I'IDC-FROCAD Guy Romain Kinfouissia , aliliambia shirika la Reuters.
Bwana Sassou Nguesso ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 1979, alichaguliwa tena mwezi Machi kwenye uchaguzi uliopingwa na upinzani.
No comments:
Post a Comment