Latest News

Obama afanya mkutano na Dalai Lama


Rais wa Marekani Barack Obama, anakutana na Dalai Lama katika ikulu ya White House kwa mazungumzo ambayo yamesabaisha China kulalamika.

Msemaji wa wizara ya mashauri ya nchi za kigeni ya China, anasema kuwa uamuzi wa rais Obama kukutana na kiongozi huyo wa kiroho na mtoro kutoka jimbo la Tibet, unatuma ujumbe kwa makundi yanayojitenga ambayo yanataka Tibet kupata uhuru kutoka China.

Maafisa wa Marekani wamezuia waandishi wa habari kuhudhuria mkutano huo katika jitihada kudumisha uhusiano wa kidiplomasia na China.

No comments:

Post a Comment

PERUZI24HOURS Designed by Templateism.com Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.